Wednesday, July 13, 2016

Watumishi Hewa Chanzo Serikali Kusitisha Ajira Mpya 71,496

Watumishi Hewa Chanzo Serikali Kusitisha Ajira Mpya 71,496 WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angella Kairuki amesema serikali imelazimika kusitisha ajira mpya za watumishi 71,496 serikalini, mwaka huu hadi...

Mfanyabiashara Anayedaiwa Kujipatia Milioni 7 Kwa Dakika Afikishwa Mahakamani Na Kusomewa Mashitaka 199

Mfanyabiashara Mohamed Mustapha (anayeongea na simu) na wenzake, wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana kukabiliana na tuhuma za kuibia Serikali kodi ya Sh milioni 7 kwa kila dakika kwa kipindi kirefu.  ** Hatimaye mfanyabiashara aliyetajwa...

Tuesday, July 12, 2016

Rais Magufuli: Sikuchagua Wakurugenzi Vilaza

RAIS John Magufuli amesema wakurugenzi watendaji (DED) wa halmashauri za wilaya, miji, manispaa na majiji aliowateua hivi karibuni, hakuwachagua kwa kubahatisha wala hakuchagua vilaza. Pamoja na hayo, Magufuli ametoboa siri ya kuihamishia Wizara ya Tawala za Mikoa...

WAKURUGENZI WATENDAJI WA HALMASHAURI, MIJI, MANISPAA NA MAJIJI 185 WALA VIAPO VYA MAADILI LEO IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri, Miji, Manidpaa na Majiji 185 kabla ya hawajakula kiapo cha maadili ya viongozi leo Ikulu jijini Dar es salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza...

Kituo Cha Dk. Mwaka Chafutiwa Usajili Wake

Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini, limekifutia usajili wake wa kutoa huduma za kitabu, Kituo cha Tiba Asilia cha ForePlan Kliniki kilichopo Ilala Bungoni jijini Dar es salaam, kinachomilikiwa na Dkt. Juma Mwaka maarufu kama Dkt. Mwaka, kwa madai kuwa...

Wanafunzi Chuo Kikuu Kizimbani Kwa Mauaji Baada ya Kufanya Tukio la Ujambazi katika Benki ya CRDB eneo la Chanika

WATU watatu wakiwemo wanafunzi wawili wa vyuo vikuu vilivyoko jijini Dar es Salaam wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya mauaji. Wanafunzi hao ni wa Chuo Kikuu cha Ardhi, Hussein Mustafa...

Nchi Nyingine ya Afrika Yazima Mitandao ya Kijamiii ya What's app na Facebook..Kisa Inasababisha Wanafunzi Wasisome

Mitandao ya kijamii nchini Ethiopia imezimwa. Waethiopia waliamka Wikiendi wakajipata hawana huduma hizo za mitandao kama Facebook, Twitter, Instagram na Viber. Serikali imefunga mitandao hiyo tangu Jumamosi usiku. Msemaji wa serikali ameiambia shirika la habari...
Powered by Blogger.