
Watumishi Hewa Chanzo Serikali Kusitisha Ajira Mpya 71,496
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na
Utawala Bora, Angella Kairuki amesema serikali imelazimika kusitisha
ajira mpya za watumishi 71,496 serikalini, mwaka huu hadi...