Thursday, February 2, 2017

Kwa wanaume Tu..Jua Mbinu 10 za Kufanya ili Kumfikisha Mpenzi Wako Kileleni Haraka na Akaridhika,Huitaji Madawa Tena Ukizijua Mbinu Hizi..!!!


Karibuni katika somo jingine ndugu wapenzi wa Udaku Special, kumekuwa na maombi toka kwa watu mbalimbali hasa wanaume wakihoji  juu ya kuweza kumfikisha mwanamke kielelni.

 kama huwezi kumfikisha mwanamke kileleni basi unausika katika hili somo!!!!...Wengi wakitaka kujua ni namna gani ya kumfikisha mwanamke kileleni kwa kuzani hawana nguvu za kuhimiri kufanya tendo kwa muda mrefu bila kufikiri kuwa kumuandaa mwanamke kabla ya tendo kunaweza kukusaidia katika kumridhisha.

Wanaume wengi huwa hawana maandalizi mazuri kwa wanawake wao kabla ya tendo la ndoa yanayoweza kuwasaidia kama kichochezi cha kuwafikisha kileleni mapema.

Basi njia hizi zinaweza kuwa msaada mkubwa endapo zitatumika ipasavyo na hata yule ambaye ulikuwa umridhishi baada ya somo hili utaweza kumlidhisha ipasavyo kwa kumfanyia yafuatayo.


1.Mpe maneno matamu okimtomasa kwa ulimi sikio lake kimahaba zaidi

2. Pitisha ulimi wako shingoni kifuani, tumboni, mapajani ni ikibidi zama chumvini walau kwa dakika kumi hivi

3. Tumia ulim wako ipasavyo kutomasa kitovu chake

4. Mnyonye lita kadhaa za mate na huku ukitumia ulimi wako ipasavyo kuuchanganya ulimi wake

5. Papasa matiti yake huku ukifinya finya chuchu zake na peleka mdomo wako huku ukinyonya kama mtoto

6. Zungusha viganja vyako karibu kila kona ya mwili wake bila kusahau kubinya binya sehemu za mbavu hips na makalio yake

7. Tekenya ki**mi chake kwa vidole vyako au kwa ulimi ikiwezekana

8. Mpe koni ya asili ajilambie kwa raha zake

9. Muweke mkao mzuri wa kupokea zawadi yake

10. Ingiza taratibu mti shimoni

Hata kama huna uwezo wa kumfikisha kileleni hiyo dozi itakusaidia vilivyo.

Naamini kama utayafanyia kazi ipasavyo tatizo la kumridhisha mwanamke litapungua..

ZINGATIA yafuatayo

Maandalizi kwanza:
Tumia muda wa kutosha mwanzoni, wanawake wanapenda kuingiliwa taratibu bila pupa. Mbusu, mfanyie masaji na mchezee kwa muda, huku ukim non'goneza maneno machafu masikioni, na tumia mda kumpapasa sehemu nyeti. Anahitaji kuloana hata kabla hujamvua nguo.

Mtafutie Style anayoipenda:
Najua wengi mnapenda ile ya kumweka juu huku ukimshika matiti yake na makalio. Itunze hiyo utaitumia badae, mwanzoni jaribu kutafuta style ambayo ina mchanganya na kumfurahisha yeye kwanza, kama vipi muulize kwanza.

Duh..Umesikia Jipya Alilosema Rais Magufuli Leo?Amefunguka Juu ya Issue Hii ya Trilion 7.3..!!!



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA Dkt. John Pombe Magufuli ametoa wito kwa Mahakama kukusanya Shilingi Trillioni 7.3 ambazo ni matokeo ya serikali kushinda kesi mbalimbali za ukwepaji kodi.

Rais Magufuli ameyasema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya siku ya Sheria na Mwaka mpya wa Mahakama iliyobeba kauli Mbiu isemayo Utoaji haki kwa wakati kuwezesha ukuaji wa uchumi.

Alisema  kuwa Takwimu zinaonesha kuwa kumekuwa na baadhi ya kesi za pingamizi za kodi ambapo  Serikali imeshinda kesi hizo japo  fedha hizo hazijakusanywa mpaka sasa.

“Kukwepa au kutolipa kodi ni kosa kubwa sana, kila mtu anawajibu wa kulipa kodi nchini kwa maendeleo ya nchi” nalifafanua Dkt Magufuli.

Aidha, Rais Magufuli alisema kuwa katika kuelekea ukuaji wa uchumi, Mahakama iwe sehemu ya chanzo cha pato la taifa kwa kwa kuhakikisha wale wanaotakiwa kulipa fidia baada ya kushindwa kesi wanafanya hivyo pamoja na kuwabana wakwepa kodi kwani kutimiza hilo kutaleta mabadiliko katika uchumi wa nchi.

Katika hatua nyingine Rais Magufuli alisema kuwa Maendeleo ya nchi hayaangalii chama chochote, hivyo amevitaka vyombo vya utoaji haki kutoa haki kwa usawa.

Kwa upande wake Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma alisema kuwa Mahakama imeandaa Mpango mkakati uliolenga kufanya maboresho ndani ya Mahakama.

Alisema kuwa mpango mkakati huo umelenga masuala makuu matatu ikiwemo Utawala bora, uwajibikaji na usimamizi wa rasilimali, upatikanaji wa haki na kwa wakati, uimarishaji wa amani kwa wananchi na ushirikishwaji wa wadau katika shughuli za mahakama.

Aidha Kaimu Jaji Mkuu alisema kuwa Mahakama imefanikiwa kusikiliza mashauri ya kesi za uchaguzi kwa asilimia 100.

“kati ya mashauri ya kesi 249 ikiwemo 53 za ubunge na 196 za madiwani ya waliopinga uchaguzi kati ya kesi hizo, kesi 52 za ubunge zilikamilishwa na kesi zote za madiwani zilikamilishwa” alifafanua Kaimu Jaji Mkuu.

Naye Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju amesema kuwa Katiba imeanisha bayana Kanuni ambazo zinapaswa kuzingatiwa na Mahakama wakati ikitekeleza mamlaka yake ya utoaji haki.

“utoaji haki mapema ipasavyo ni moja ya Kanuni ambazo Mahakama inapaswa kuzingatia katika utekelezaji wa majukumu yake kama inavyoelekezwa katika Katiba” alifafanua Mwanasheria Mkuu.

Alisema kuwa Serikali imeendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji na kufanya biashara katika nchi ya Tanzania hivyo kuchochea maendeleo ya kiuchumi.

Siku ya Sheria nchini ilioanzishwa mwaka 1996 ikiwa ni siku muhimu ya kuombea Majaji na Mahakimu ili kuweza kusikiliza kesi

Hii Hapa List Nyingine ya Vigogo wa polisi Waliotajwa na Makonda Kuhusika na Madawa ya Kulevya,Ampiga Biti Tena Kamanda Sirro



Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataja Askari 9 wanaotuhumiwa kuhusika na biashara ya dawa za kulevya.

1- Detective Koplo Noel (Kituo chake cha kazi ni Central Police Dar)

2- Dotto (Yuko Kituo cha Kijitonyama)

3- Mwingine anafahamika kama 'Makomeo' (Kituo cha Oyster-bay)

4- Glory (Yuko Kituo cha Kawe)

5- Inspector Fadhili (Yuko Kituo cha Kinondoni)

6- Steve (Kinondoni)

7- James (Kinondoni)

8- Ditective Koplo (Wille


RC Makonda amewataja wanaotuhumiwa kutumiwa dawa za kulevya wakiwemo TID, Wema Sepetu, Chid Benz, Recho, amewataka kesho wakutane polisi

Kuna maeneo watu wanatuambia madawa ya kulevya wanayapata sehemu hizo, wamiliki wake kesho niwakute polisi, wasipokuja nitawafuata - RC Makonda

Kama unajua una eneo unafanya biashara za dawa za kulevya DSM natoa siku 7 biashara hii iishe, operesheni hii naiongoza mwenyewe - RC Makonda

Kama Kamishna Sirro na timu yake watashindwa kutokomeza dawa za kulevya DSM maana yake wamekosa sifa za kuendelea kuwa askari - RC Makonda

Watano tayari nimeshawakamata na wengine nimewakamata wakiwa na dawa za kulevya - RC Makonda

Breaking Newss..Mkuu wa Mkoa Dar Es Salaam,Paul Makonda Amtaja Wema Sepetu Katika Orodha ya Wauza Madawa ya Kulevya Nchini,Tazama List ya Wasanii Wote Aliowataja Hapa..!!!



Akitoa taarifa katika kipindi cha infomer cha clouds FM kufuatia msako wa kukamata wahusika wa madawa ya kulevya alichofanya mkuu wa mkoa Paul makonda.

Askari 9 wamekamatwa wakishirikia na wauza madawa ya kulevya
Huku wasanii watumiaji wa madawa hayo wakitajwa na kutakiwa kuripoti polisi wenyewe mapema ,

wasanii waliotajwa na kutakiwa kuripoti polisi ni
1. Wema sepetu
2. Petiman wakuache
3. TID
4. Mr. Blue
5.Recho(kizunguzungu)

Wednesday, February 1, 2017

Huu Ndio Muonekano Mpya wa Ray C, Mashabiki Wadai Aache Kujikondesha



Mashabiki wamjia juu Ray c... Wamwambia aache Diet ya kupungua mwili kwani ameanza kuharibika na kukonda...!! Wamtaka aache mara moja.

Breaking News..Necta Watangaa Matokeo ya Kidato cha Nne Mwaka 2016,Tazama Matokeo Hapa..!!!



Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne (CSEE) na QT kwa mwaka 2016. Jumla ya watahiniwa 277,283 ambao ni sawa na asilimia 70.09 ya watahiniwa waliofanya mitihani kidato cha nne 2016 wamefaulu.

Wasichana waliofaulu ni 135,859 ambao ni swa na asilimia 67.06 wakati wavulana waliofaulu ni 142,424 sawa na asilimia 73.36.

Kwa mwaka 2015, watahiniwa waliofaulu walikuwa 272,947 sawa na asilimia 67.53. Ukilinganisha na matokeo ya mwaka huu, ufaulu umeongezeka kwa asilimia 2.56. Idadi hii ni ya watainiwa wote, yaani watahiniwa wa shule na watahiniwa wa kujitegemea.

Bonyeza hapa kuweza kuona matokeo ya kidato cha nne mwaka 2016 –>CSEE 2016

Bonyeza hapa kuweza kuona matokeo ya QT mwaka 2016  –>(QT) 2016

Wanafunzi 10 Bora Kitaifa


  1.      Alfred Shauri (Feza Boys)
  2.     Cynthia Nehemiah Mchechu (St. Francis Girls)
  3.     Erick Mamuya (Marian Boys)
  4.     Jigna Chavda (St. Mary Goreth)
  5.     Naomi Tundui (Maria Girls)
  6.     Victoria Chang’a (St. Francis Girls)
  7.     Brian Johnson (Marian Boys)
  8.     Esther Mndeme (St. Mary’s Mazinde Juu)
  9.     Ally Hassan Koti (ALCP Kilasara)
  10.     Emmanuel M. Kajege (Marian Boys)


Wasichana 10 Bora Kitaifa


  1.     Cynthia Mchechu (St. Francis Girls)
  2.     Jigna Chavda (Mary Goreti)
  3.     Naomi Tundui (Maria Girls)
  4.     Victoria Chang’a (St. Francis Girls)
  5.     Esther Mndeme (St. Mary’s Mazinde Juu)
  6.     Christa Edward (St. Francis Girls)
  7.     Nelda John (Marian Girls)
  8.     Mariamu Shabani (Kifungilo Girls)
  9.     Beatrice Mwella (St. Mary’s Mazinde Juu)
  10.     Rachel Kisasa (Canossa)


Wavulana 10 Bora Kitaifa


  1.     Alfred Shauri (Feza Boys)
  2.     Erick Mamuya (Marian Boys)
  3.     Brian Johnson (Marian Boys)
  4.     Ally Koti (ALCP Kilasara)
  5.     Emmanuel Kajege (Marian Boys)
  6.     John Ng’hwaya (Nyegezi Seminary)
  7.     Clever Yohana (Living Stone Boys)
  8.     Desderius Rugabandana (Morning Star)
  9.     Kennedy Boniface (Feza Boys)
  10.     Assad Msangi (Feza Boys)


Shule 10 Bora Kitaifa


  1.     Feza Boys
  2.     St. Francis Girls
  3.     Kaizirege Junior
  4.     Marian Girls
  5.     Marian Boys
  6.     St. Aloysius Girls
  7.     Shamsiye Boys
  8.     Anwarite Girls
  9.     Kifungilo Girls
  10.     Thomas More Machrina


Shule 10 za Mwisho Kitaifa


  1.     Kitonga
  2.     Nyeburu
  3.     Masaki
  4.     Mbopo
  5.     Mbondole
  6.     Somangila Day
  7.     Dahani
  8.     Ruponda
  9.     Makiba
  10.     Kidete

Kinara wa Kidato cha Nne Nchini Afichua Siri ya Kufanya Vizuri,Adai ni Mungu na Wazazi Tu..!!!



Mwanafunzi wa kwanza katika matokeo ya kidato cha nne nchini kutoka shule ya Sekondari ya Feza Boys jijini Dar es Salaam, Alfred H. Shauri (katikati) akielelzea siri ya mafanikio yake kwa wanahabari.

MWANAFUNZI wa kwanza kitaifa katika matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2016, Alfred H. Shauri, ameeleza siri ya mafaniko yake kuwa ilitokana na kusoma kwa bidii na kumtanguliza Mungu katika kila alichofanya.

Akizungumza na wanahabari katika Shule ya Sekondari ya Feza Boys alikosoma eneo la Kunduchi jijini Dar es Salaam, amesema kitu cha  kwanza katika kila alilofanya ni kumtanguliza Mungu katika masomo yake na cha pili alikuwa sambamba na wazazi wake kuhakikisha anachukua ushauri wao juu ya masomo yake ambapo kwa uapnde wa walimu wake alisema aliwasikilza kwa makini na kuwauliza maswali pale alipokuwa akihitaji msaada na kujisomea vitabu mbalimbali.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Shule za Sekondari za Feza, Ibrahim Yunus,  alisema kuwa mafaniko ya mwanafunzi huyo yametokana na juhudi zake mwenyewe alizokuwa nazo wakati akiwa shuleni hapo kwani aliweza kuwa wa kwanza pia katika shindano la insha  iliyozikutanisha shule za Afrika Mashariki mwezi Mei mwaka jana.

Umoja wa Afrika Kujiondoa Katika Mahakama ya ICC..!!!!



Umoja wa Afrika umeunga mkono mpango wa kujiondoa kwa pamoja katika mahakama ya ICC ambayo mataifa mengi ya Afrika yanahisi inawalenga viongozi wa Bara la Afrika pekee.

Uamuzi huo uliochukuliwa katika kikao cha faragha haujahalalisha hatua hiyo.

Viongozi wa Afrika wanasema kuwa mahakama hiyo ilikosea kumlenga rais wa Sudan Omar El Bashir kwa mauaji ya Darfur na Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kuchochea ghasia za baada ya uchaguzi.

Mpango huo unapendekeza kwamba mataifa ya Afrika yanafaa kuimarisha mahakama zake na kupanua uwezo wa mahakama ya Afrika kuhusu haki na haki za binaadamu.

CHANZO: BBC SWAHILI

Serikali Yaeleza Hatua Iliyofikiwa Kuhusiana na Walimu Waliompiga Mwanafunzi Mbeya


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni ametolea ufafanuzi kuhusu hatua inayochukuliwa na vyombo vya dola dhidi ya watu wanaohusika na vitendo vya unyanyasaji vikiwemo kupiga watu.

Naibu waziri huyo ametoa ufafanuzi huo Jumatano hii mjini Dodoma kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Ndani, wakati alipokuwa akijibu swali la mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi.

Mbilinyi aliuliza, “Kumekuwa na tabia za watu kupiga watu wengine, vipigo ambavyo vinafikia kiasi cha utesaji matukio kama yaliyotokea Mbeya Day sekondari kwa mwalimu kumshambulia mwanafunzi lakini na lile la mtu kumtoa macho mwingine tukio lililotokea kule Buguruni, Je, Serikali inachukua hatua gani kwa watu wanaowapiga wenzao bila sababu?”

Mheshimiwa Masauni alijibu, “Ni kweli hivi karibuni kumekuwa na vitendo vya kusikitisha katika nchi yetu na kwa jamii ambavyo ni kinyume na sheria na havikubaliki. Aidha serikali haikubaliani na vitendo vya namna hiyo vinavyofanywa na watu, mtu au kikundi kwani vitendo hivyo ni kinyume na sheria na utaratibu mzima wa haki za binadamu. Serikali kupitia jeshi la polisi imekuwa ikichukua hatua mbalimbali ili kuzuia na kulinda raia na mali zao, aidha serikali kupitia jeshi la polisi tumepokea taarifa za matukio mbalimbali na kuyafanyia uchunguzi wa kina yanapobainika upo ushahidi wa kutosha mtuhumiwa huchukuliwa hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria.”

Aliendelea, “Nichukue fursa hii kuwaasa wale wote wanaokiuka taratibu, kanuni na sheria za nchi waache tabia hiyo mara moja wizara yangu haitakuwa na suluhu kwa mtu yeyote atakayetenda uhalifu huo.”

Ameongeza “Kuhusiana na suala la walimu ambao wamewanyanyasa wanafunzi kwenye shule ya Mbeya day, suala hili ni suala mtambuka kwahiyo ni hatua mbalimbali zinachukuliwa na mamlaka husika kwa upande wa jeshi la polisi kwa kushirikiana na mkurugenzi wa mashtaka ni kwamba kuna hatua zinaendelea kuchukuliwa na pale ambapo uchunguzi utakamilika watafikishwa katika vyombo vya sheria.”

Kudadeki..Eti Ng'ombe 150 Watachinjwa siku ya Birthday ya Mugabe...!!!!



Chama kinachotawala nchini Zimbawe Zanu-PF, kimeanza kuchangisha pesa kwa sherehe za siku ya kuzaliwa ya Rais Robert Mugabe ambaye anahitimiza miaka 93.

Waandalizi wa sherehe hizo wanasema kuwa wanataka kuchangisha ng’ombe 150 kwa chakula.

Gazeti la serikali la Herald limemnukuu mbunge Never Khanye, akisema kuwa hakuna mtu atalazimishwa kuchanga lakini wakulima wakubwa katika maeneo ya matabeleland ambapo shehere zitafanyika, ni lazima watoe ngombe mmoja kila mmoja, kutoa asante kiongozi huyo wa miaka mingi.

Wakulima wakubwa ni wale walipata mashamba makubwa kutoka kwa serikali kufuata hatua ya serikali ya kunyakua mashamba kutoka wa wazungu wakati wa programu iliyokumbwa na utata nchini Zimbabwe.

Chama cha Zanu-PF kinasema kuwa kinatarajia karibu watu 100,000 kuhudhuria sherehe hizo.

Shere hizo zitafanyika eneo la Matobos nje kidogo ya mji wa Bulawayo.
Powered by Blogger.