Monday, January 18, 2016

Matokeo Ya Kidato Cha Pili Yaingia Dosari......Wamiliki Wa Shule na Vyuo Wataka Mfumo wa GPA Ufutwe

WAMILIKI wa Shule na Vyuo Visivyo vya Serikali wameiomba Serikali kufuta mfumo wa GPA unaotumiwa na Baraza la Mitihani (Necta) kupanga madaraja ya mitihani ya sekondari, kwa maelezo kuwa haufai kwa kuwa unahalalisha watahiniwa waliofeli waonekane wamefaulu. Akizungumza...

Thursday, January 14, 2016

Raia wa Kigeni 15 katika mgodi wa Tanzanite One wafukuzwa nchin

Kaimu Katibu Mkuu mkoa wa Manyara, Longino Kazimoto (aliyesimama) akichangia jambo wakati wa kikao cha Kamati za Ulinzi na Usalama za Mikoa ya Manyara, Kilimanjaro na Arusha ambazo zinashirikiana na Wizara ya Nishati na Madini katika kudhibiti utoroshaji madini ya Tanzanite...

Thursday, January 7, 2016

WAZIRI MKUU ATOA ONYO KALI KWA MADAKTARI WANAO TOA MIMBA WANAWAKE

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsalimia Josephine John* ambaye amelazwa katika hospitali ya mkoa wa Ruvuma kwa matibabu. Alikuwa katika ziara ya mkoa huo Januari5, 2016. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaonya Madaktari vinara wa Hospitali ya Rufaa ya Songea ambao wanasifika...

Rais Magufuli Akutana Na Rais Mstaafu, Benjamini Mkapa na Waziri mkuu mstaafu warioba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu, Benjamini William Mkapa Ikulu jijini Dar es Salaam January 7,2016. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu...

Monday, January 4, 2016

CUF: Hatutoshiriki sherehe za Mapinduzi

VIONGOZI wakuu wa Chama cha Wananchi (CUF) hawatashiriki shughuli za kiserikali zilizopangwa kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar, kutokana na serikali iliyopo kutokuwa na ridhaa ya Wazanzibari. aarifa iliyotolewa leo na Kurugenzi ya Habari na Mawasiliano na Umma ya chama hicho imesema hatua hiyo inatekelezwa katika kuzuia...

CCM yamjia juu Lowassa

Lowassa alikaririwa na vyombo vya habari kutoka Monduli akisema Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa maelekezo ya Serikali imekuwa ikiwatoza kodi kubwa wafanyabiashara kwa sababu waliifadhili Chadema kwenye kampeni za uchaguzi mkuu mwaka jana.CCM imesema kauli ya Waziri Mkuu...

TANESCO WAWAOMBA RADHI WATEJA WA KANDA YA KASKAZINI MASHARIK

KUOMBA RADHI WATEJA WA KANDA YA KASKAZINI MASHARIKI WANAOPITIWA NA GRIDI YA TAIFA. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), linawaomba radhi wateja wake wanaopitiwa na Gridiya Taifa wa maeneo ya Dodoma, Singida, Shinyanga, Tabora, Mwanza, Musoma, Iringa, Mbeya, Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Geita, Simiyu na Mara kwa kukosa umeme leo Januari 04, 2016 majiraya...

Sunday, January 3, 2016

BALOZI SEFUE AONGOZA SEMINA ELEKEZI YA SIKU MOJA KWA MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza na Makatibu Wakuu pamoja na Manaibu Katibu Wakuu wakati akifungua Semina Elekezi kwa Makatibu hao Ikulu jijini Dar es Salaam leo January 2, 2015 Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wakisikiliza kwa makini Hotuba ya...

Mchungaji Rwakatare Aivimbia Serekali

Baada ya nyumba yake kuwekewa alama ya kutakiwa kubomolewa muda wowote kuanzia Januari 6, Mchungaji wa Kanisa la Assemblies of God, Dk Getrude Rwakatare ameitaka Serikali itii uamuzi wa Mahakama Kuu wa kuzuia ubomoaji.Mwishoni mwa mwaka jana, Serikali ilianza ubomoaji wa nyumba zote zilizojengwa mabondeni, kama Bonde la Mto Msimbazi, kingo za mito,...
Powered by Blogger.