Sunday, February 28, 2016

Polisi Zanzibar Kuwahoji Watu 34 Wanaotumia Lugha ya Matusi Katika Mitandao ya Kijami

JESHI la Polisi Zanzibar limetoa tahadhari kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii ambao wanaitumia kwa kuwatukana viongozi wa kitaifa, huku likiwa na orodha ya watu 34 ambao wanatarajiwa kuhojiwa zaidi kutokana na matumizi mabaya ya mitandao hiyo. Kauli hiyo imetolewa...

Rais Magufuli awasili Arusha kuongoza mkutano wa jumuhiya ya Afrika mashariki

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mbunge wa Arumeru Msshariki Mhe Joshua Nassari aliyekuwa mmoja wa viongozi na wananchi waliojitokeza kwa wingi kumpokea alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza Mkutano wa 17 wa Kawaida...

Thursday, February 18, 2016

Uteuzi wa Kamanda Maalumu wa Polisi Kikosi cha Bandari waja kukomesha majipu Bandari

Jeshi la Polisi Tanzania wakati wowote kuanzia sasa linaweza kumteua Kamanda Maalumu wa Polisi Kikosi cha Bandari, ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais John Magufuli la kulitaka Jeshi la Polisi nchini kulinda Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA).Mapema wiki hii, Rais  John Magufuli aliagiza Jeshi la Polisi kurejesha huduma za ulinzi...

Tuesday, February 16, 2016

KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA VITUO VYA UHAMIAJI MIPAKANI

Mkuu wa Kituo cha Uhamiaji mpakani Tarakea, wilayani Rombo Mkoa wa Kilimanjaro, John Kapembe akimuonyesha Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (wapili kushoto aliyevaa kiraia) eneo la Tanzania katika mpaka huo uliopakana na nchi...

Sunday, February 7, 2016

Mwalimu Mkuu Ashushwa Cheo na Kukamatwa na Takukuru Kwa Rushwa ya KUKU

Mkuu wa Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, Amani Mwenegoha amemvua wadhifa wake Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Sinamila, Mashaka Lusotola na kumrudisha kuwa mwalimu wa kawaida. Hatua hiyo ilikuja baada Mwenegoha kubaini kuwa walimu wa shule hiyo wamekuwa na tabia ya kuwaagiza...

Thursday, February 4, 2016

Uchaguzi Mameya Kinondoni na Temeke sasa Kurudiwa

Uchaguzi wa umeya katika Manispaa za wilaya za Temeke na Kiondoni utarudiwa baada ya kugawanywa na kuzaa wilaya za Ubungo na Kigamboni. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi), George Simbachawene, alisema Rais John...

Mbowe Na Zitto Kabwe Wazika Rasmi Ugomvi Wao Wa Muda Mrefu

Uhasama  uliodumu kwa muda mrefu kati ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe sasa ni wazi unaonekana kumalizika. Hali hiyo inatokana na viongozi hao kwa nyakati tofauti jana...

Magufuli challenges coffee farmers to raise quality, quantity

The Minister for Agriculture, Livestock and Fisheries, Mwigulu Nchemba  PRESIDENT John Magufuli has challenged coffee farmers in Tanzania and elsewhere on the continent to improve the quality and quantity of their produce if they are to compete in the global...

Employers unhappy with law covering foreign workers

The Minister of State in the Prime Minister's Office (Policy, Parliamentary Affairs, Labour, Employment, Youth and the Disabled), Ms Jenista Mhagama  Tanzanian employers have voiced their concern over the high fees they have to pay to secure and even renew working...
Powered by Blogger.