
WATU 15 waliofukiwa kwa kifusi katika mgodi wa dhahabu wa Kampuni ya RZ Union Mining Ltd uliopo Kata ya Nyarugusu mkoani Geita, wameokolewa wote wakiwa hai kutokana na jitihada zilizofanywa na wataalamu wa mgodi huo na mingine kwa kushirikiana na serikali.
Habari...