Sunday, January 29, 2017

Breaking News: Waliofukiwa na Kifusi Mgodini Geita Waokolewa Wote

WATU 15 waliofukiwa kwa kifusi katika mgodi wa dhahabu wa Kampuni ya RZ Union Mining Ltd uliopo Kata ya Nyarugusu mkoani Geita, wameokolewa wote wakiwa hai kutokana na  jitihada zilizofanywa na wataalamu wa mgodi huo na mingine kwa kushirikiana na serikali. Habari...

Thursday, January 26, 2017

Inahuzunisha Sanaa..!! Mtoto Ambaka Mama`ke Hadi Kifo ,Stori Kamili Hii Hapa..!!!

Dunia imekwisha! Hiyo ndiyo lugha nyepesi na rahisi unayoweza kuitumia kuelezea tukio hili. Januari 11, mwaka huu Tambani, Mbande wilayani Temeke jijini hapa, kijana mdogo, Hamis Lutani Kilumbi (21) anadaiwa kumbaka mama yake mzazi, Fatuma Mohammed Matutu (48) sambamba na...

Wednesday, January 25, 2017

Elewa A to Z kuhusu mwanaume aliyejinyonga kisa mapenzi,.Mengi yafichuka nyuma ya Pazia. Yadaiwa Kauawa!!

Jumapili mchana, picha za kijana mmoja aliyetambulishwa kama Fredrick Richard zilianza kusambaa mitandaoni, ikidaiwa kuwa amejinyonga, kisa ni mapenzi kwa mwanamke mmoja ambaye alitajwa kwa jina la Rose, kabla ya baadaye jina hilo kurekebishwa na kuwa Mariam.   Tukio...

Tuesday, January 24, 2017

Rais Magufuli Kuzindua ‘Mwendo Kasi’ Dar, Kesho..!!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dk. John Pombe anatarajia kufanya uzinduzi rasmi wa huduma ya mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam siku ya kesho. Uzinduzi huo unaotarajiwa kufanyika kwenye stendi kuu ya mabasi hiyo ya Gerezani jijini Dar es Salaam, utaanza...

Fanya Mazoezi Haya kwa Wiki Tatu Kuongeza Nguvu za Kiume..!!!

Kuna jambo linanishangaza sana, utakuta mwanaume anapata muda wa kukaa kitako muda wa dakika tisini au zaidi akiangalia mpira, au masaa manne, matano na wengine wanakesha kabisa katika baa wakinywa na kula tu, lakini wanasahau kabisa kutenga muda tena mdogo tu kama dakika...

Sunday, January 22, 2017

Baada ya Bilicanas na Shamba, Serikali ‘Yakamata’ Hoteli ya Mbowe Arusha

 Ikiwa ni takribani miezi mitano sasa tangu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe alipoondolewa katika jengo la Bilicanas lililokuwa pia na ofisi za Free Media na siku moja tangu serikali imzuie kuendeleza shughuli za kilimo kwenye shamba lake, kiongozi huyo amepata...

MAHABA NIUE: Trump Alivyoonyesha Mahaba Kwa Mke wake Ikulu White House Jana!!

Donald Trump na mkewe, Melania juzi walilionyesha jiji la Washington mvuto wa familia yao  wakati walipopanda kudansi kwenye jukwaa lililopambwa kwa taa za rangi nyekundu, nyeupe na bluu ambazo ni za bendera ya Marekani. Wimbo wao wa kwanza kwa wawili hao kucheza ulikuwa...

Huu Ndio Upasuaji wa kurudisha Bikra Kwa Mwanamke Unavyofanywa ..!!!

bikra ni nini? hii ni ngozi laini sana inayofunika uke kwa wanawake ambao hawajawahi kushiriki ngono kabisa, kikawaida mwanamke anaacha kuitwa bikra pale ngozi hii inapoondolewa.... ngozi hii kitaaamu inaitwa hymen. hymenorrhaphy ni nini? huu ni upasuaji unaofanyika kuirudisha...

Kwa walevi Mnaotaka Kuacha Pombe Dawa Soma HAPA!!!

makala iliyopita nilizungumzia madhara ya unywaji wa pombe na kama hukuipata makala hiyo basi isome hapa........, watu wengi ambao ni walevi sana kwenye jamii hudharauliwa na kulaumiwa sana kwa kuendekeza tabia hizo, ni kweli wanaweza kua wanapaswa kulaumiwa lakini upande...

SIMANZI: Ajinyonga Baada ya Kusalitiwa na Mpenzi wake! Aacha barua yenye ujumbe mzito!!

Kijana mmoja kwa Jina la Fredrick Richard amefikia hatua ya kujinyonga baada ya mpenzi wake (Rose) kumsaliti na kugawa tunda kwa rafiki yake kwa jina Robert. Kabla ya kufikia maamuzi ya kujitoa uhai, kijana huyo aliandika barua ya simanzi kusikitishwa kwa kitendo alichofanyiwa...

Wednesday, January 18, 2017

Mwenyekiti Chadema Ahukumiwa Miezi Nane Jela Bila Faini,Kisa Hiki Hapa..!!!

VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwemo Kaimu Mwenyekiti wa Mkoa wa Lindi na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama, Selemani Mathew na Katibu wa Chadema Kijiji cha Nyangamara ‘A’ mjini Lindi, wamehukumiwa kifungo cha miezi minane jela bila ya faini kutokana...
Powered by Blogger.