Thursday, February 23, 2017

Utawala Wako Binafsi Unavyoweza Kukufanya Tajiri au Maskin

Utawala binafsi ni vile mtu anaweza kuishi katika maagano na malengo yake kwa kuzingatia muda,mahitaji na nguvu aliyonayo katika kukamilisha jambo hilo. Kwa tafsiri yangu mtu akiweza kuishi katika hayo anakuwa ameweza kujitawala vizuri.Katika uongozi wa nchi huu ni utawala...

Tuesday, February 21, 2017

Taarifa Kuhusu Mchezaji Emmanuel Adebayor Kuja Kucheza Yanga ya Tanzania Hii Hapa

Jana January 25 2017 moja kati ya taarifa zilizokuwa zimeenea katika mitandao ya kijamii ni kuhusiana na mshambuliaji wa kimataifa wa Togo aliyewahi kucheza Arsenal, Man City, Tottenham Hotspurs na Crystal Palace  Emmanuel Adebayor kuripotiwa kujiunga na  timu ya...

Hizi Ndizo klabu Tajiri Zaidi Afrika,Simba ,Yanga na Azam Hazisomeki....!!!

KATIKA miaka ya hivi karibuni mchezo wa soka umekuwa chanzo kikubwa cha mapato kwa nchi zilizopiga hatua zikiwamo zile za barani Ulaya. Kwa Afrika ambako nchi nyingi ni masikini, soka limekuwa kimbilio la vijana wengi ambao kwao ndicho chanzo kikubwa cha ajira. Wachezaji,...

Hana Hamu ya Kufanya Mapenzi na Mimi..Naomba Ushauri

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, nina mpenzi wangu wa muda mrefu toka 2014 japo mapenzi yetu yamekuwa hayana muendelezo muzuri kutokana na tabia za huyu mwenzangu. Tulianza mahusiano yetu vizuri sana baadae mwenzangu alibadilika ghafla, nikaja kugundua alikuwa na mahusiano...

Fahamu Mambo Yanayowachizisha Wanawake...!

HAKUNA aliyeaibika wakati akijaribu kufanya jambo kwa faida yake. Siku zote kufanya jaribio ni mwanzo wa kuelekea kwenye ufanisi mzuri wa jambo husika. Rafiki zangu, ni vema nawe ukajiwekea utaratibu wa kujaribu kufanya mambo ambayo unadhani huyawezi, lakini yakileta...

Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa tendo) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja...

Hivi Ndivyo Uzuri wa House Girl Ulivyomponza Mke wa Mtu

Inasikitisha sana. Fuatilia mkasa huu mwanzo mwisho....Mke alimhisi mmewe kuwa anatembea na housegirl wao kutokana na ukweli kuwa, housegirl alikuwa mzuri mno kimuonekano, kiumbo na kwa sura. Alifikiri kumfukuza ila mme aligoma kutokana na uchapakazi wa binti yule. Hivyo,...

Ray C: Nilianza Mapenzi Nikiwa na Umri wa Miaka 16

Alikuwa akihojiwa kipindi cha Planet Bongo,amezungumzia mambo mengi ikiwemo bifu za wasanii, kutoa albamu, alivyoanza mapenzi .Amedai bifu ni nzuri sababu zinachangamsha muziki, alianza mapenzi akiwa na miaka 16 ila walaiachana kutokana na utoto na pia amedai watu wanamiss...

Mwanaume Ukiwa Unafanya Haya Usilalamike Mkeo/Mpenzi Akichepuka

Ikifikia mke kukusaliti kwanza unahitaji kujiuliza kuna tatizo gani mpaka akafikia kukusaliti? Mwanamke anaekupenda sio rahisi kumsaliti ampendae hata akitongozwa na Sharobaro, Mzee Yussuf, Diamond hata Reginal Mengi.Ikitokea mkeo kakusaliti kuna kitu nyuma ya pazia lako,...

Babu wa Miaka 98 Amuoa Bibi wa Miaka 88 Baada ya Kukaa Miaka 60 Wakichunguzana

weli nimeamini mapenzi hayana mwenyewe na huku waswahili husema ukistaajabu ya Mussa…… hapo waweza malizia mwenyewe. Hii tunaiona kwa Mzee Willy Kinyua (98) baada kufunga ndoa na Joyce Nyambura (88) baada ya wenza hao kuishi pamoja kwa zaidi ya miaka 60.Hehehe, Wengine wetu...

Fahamu Sifa za Mwanamke Asiyefaa Kuolewa Asilani

SUALA la kuoa lipo tu licha ya kwamba wapo wanaochelewa kuingia kwenye maisha hayo wakihisi inaweza kusitisha furaha ya maisha yao. Nasema hivyo kwa kuwa najua wapo wanaoamini kuoa ama kuolewa ni kujiingiza kwenye matatizo.Dhana hiyo haina mashiko kiviile, asikuambie mtu unapoingia...

Tuesday, February 14, 2017

Barcelona Waisoma Namba Ufaransa..!!!

Miamba wa soka wa Hispania Fc Barcelona wameanza vibaya hatua ya kumi na sita bora baada ya kukubali kichapo cha mabao 4-0 ugenini dhidi ya Psg ya Ufaransa. Angel di Maria alianza kuwaandika Pgs goli kwa mpira wa adhabu uliokwenda moja kwa moja nyavuni, katika dakika ya...
Powered by Blogger.