Monday, November 30, 2015

MAMA AMBANA DIAMOND UHALALI WA TIFFAH

Mama wa staa wa muziki Bongo, Sanura Kassim ‘Sandra’. SINEMA limeanza! Sanura Kassim ‘Sandra’ ni mama mzazi wa ‘kichaa’ wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ hivi karibuni anadaiwa kuingia katika figisufigisu na mwanaye huyo kwa kumuhoji kama kweli Latiffah ‘Tiffah’ ni damu...

FROLA MBASHA AJIACHIA NA MLINZI WAKE......EMMANUEL MBASHA ALIEKUWA MUME WAKE< ATOA TAMKO!!!!

GUMZO! Miezi kadhaa imekatika tangu nyota wa nyimbo za Injili Bongo, Flora Mbasha kumwagana na mumewe, Emmanuel Mbasha ‘Imma’, habari ya mjini kwa sasa ni mwanadada huyo kudaiwa kujiachia kila kona na jamaa anayemtambulisha kwa jina moja la Peter akisema kuwa ni...

KUMEKUCHA !!! MALI ZA BILLIONNEA MUUZA UNGA ZASHIKILIWA!!!

KUMEKUCHA! Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amewasilisha waraka Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam akitaka kushikiliwa na kuzuiwa kwa mali zote za mtuhumiwa wa madawa ya kulevya ‘unga, Muharami Abdallah au maarufu kwa jina la ‘Chonji’ na mkewe,...

NAFASI ZA KAZI TANZANIA POSTAL COORPORATION - NAFASI 8

JOB TITLE: ASSISTANT POSTAL OFFICER (8 POSTS) QUALIFICATIONS Holder of Diploma in Procurement and Logistics, Information Technology, Accounts, Mechanical or Motor engineering from any recognized higher learning Institution. Fluent in English and Swahili language. Computer literacy. Should not be more than 35 years old. Duties and Responsibilities Checking...

12 WATIWA MBARONI NA JESHI LA POLISI UPOTEVU WA MAKONTENA 349!!!

Kufuatia agizo la Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa la kuwataka watuhumiwa wa wizi wa  makontena 329 katika bandari ya Dar es salaam kuchukuliwa hatua na Jeshi la Polisi, tayari Jeshi hilo limewashikilia watuhumiwa kumi na mbili wanaohusika na wizi huo.Akiongea na...

RC KILIMANJARO AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA

MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara ya kushtukiza katika masoko manne ya Manispaa ya Moshi pamoja na dampo za kukusanyia uchafu, ili kujionea hali ya usafi na utendaji kazi katika mkoa huo. Katika ziara hiyo, RC Makalla alitumia muda huo kuwaagiza watendaji...

MASTAA WA 3 WAJULIKANA BAADA YA MCHUJO MKALI KATI YA MASTAA 23!!!

Mastaa watatu wa soka duniani Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Neymar wamerudi kwenye headlines baada ya kuchaguliwa kushindania tuzo ya kimataifa ya mwaka ya Ballon d’Or. Huu unakuwa mwaka wa nane kwa staa wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo...

MALI ZA MASTAA

Hii ndio zawadi ya Floyd Mayweather kwa mtoto wake aliyetimiza miaka 16… Bondia maarufu zaidi duniani Floyd Mayweather haishiwi headlines kila wakati na mara nyingi zimekuwa zikihusisha utajiri wake. Kingine kutoka kwa staa huyo katika ukurasa wake wa @Instagram amepost...
Powered by Blogger.