
Leo Mwana Fa ameachia ngoma yake ambayo ni mwiba mchungu kwa kina dada wa mjini wanaopenda na kuishi kwa kuombaomba. Ngoma inaitwa Dume Suruali.
Nihonge nanunua nini? Kwa nini yani? Kwa kipi nsichokijua ina TV ndani?
Asante FA kwa hii fimbo ya kufungia mwaka haswa kipindi hiki cha Magufuli #TeamDumeSuruali
Dume Suruali ft. Vanessa Mdee - Mwana FA
0 comments:
Post a Comment