Tuesday, November 29, 2016

Daktari Feki Afanya Upasuaji Wagonjwa 9 na Kufariki Mmoja, Apewa Ofa ya Kujiendeleza Kielimu

KENYA: Kamati ya maswala ya afya nchini Kenya imependekeza daktari feki aliyekamatwa nchini humo aruhusiwa kujiendeleza na masomo ya udaktari badala ya kutumikia kifungo gerezani.Kauli hiyo imetolewa baada ya kubainika kuwa daktari huyo feki alifanikiwa kufanya upasuaji...

Watu 76 Wamethibitika Kufariki Dunia na 5 Kunusurika Katika Ajali ya Ndege

Watu 76 wamethibitika kufariki dunia na 5 kunusurika baada ya ndege ya wachezaji kutoka Brazil kuanguka asubuhi ya leo. Kati ya waliofariki 22 ni Waandishi wa Habari.Timu Atlético Nacional ambayo ilipaswa kucheza wa kwanza wa fainali dhidi ya timu ya Chapeonense yaomba Shirikisho...

Alikiba Asherehekea Siku ya Kuzaliwa Kwa Kutembelea Mbugani

Leo ni siku ya kuzaliwa ya Alikiba. Na kusherehekea siku hiyo muhimu kwake, muimbaji huyo mahiri alitumia private jet kwenda na timu yake ya Rockstar4000 akiwemo Barakah Da Prince kwenda mbugani. Chini ni picha alizoweka kwenye Instagra...

Friday, November 25, 2016

Chemical: Kwanini Watu Wanashindwa Kuamini Kuwa Mimi ni Bikira?

Rapper wa kike mwenye swaga za hatari Chemical amesema anashangazwa kwa kitendo cha baadhi ya watu wanaompinga kuwa hajawahi kufanya mapenzi.Hitmaker huyo wa ‘Am Sorry Mama’ amekiambia kipindi cha Kubamba cha Times FM, kuwa aliwahi kuwa na mpenzi lakini waliachana kwa kuwa...

Paul Makonda Alivyoamuru Mwenyekiti Mwingine Akamatwe Katikati ya Mkutano

November 24 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salam, Paul Makonda ameendelea na ziara yake ya siku 10 ambayo lengo ni kukutana na wanannchi kwa ajili ya kusikiliza kero zao. Ilikuwa ni zamu ya Ilala na hapa ulikuwa ni mkutano wa hadhara Chanika, katika mkutano huo ulitawaliwa na...

Kampeni ya Kumng’oa Trump Yashika Kasi

Ndoto za Donald Trump aliyechaguliwa hivi karibuni kuwa Rais wa 45 wa Marekani huenda zikayeyuka baada ya wajumbe sita wa Democratic watakaopiga kura za majimbo kuanzisha kampeni maalumu ya kuwashawishi wajumbe wengine kutomwidhinisha Rais huyo mteule.Wajumbe hao ambao majina...

Timu Lipumba, Maalim Seif zatwangana Mahakamani

KATIKA hali isiyo ya kawaida, wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF), jana waligeuza Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, kuwa ukumbi wa masumbwi baada ya kutwangana baadhi yao walipojaribu kumzuia Profesa Ibrahim Lipumba kuingia kusikiliza kesi inayomhusu.Watu hao ambao walikuwa...

Rais Magufuli Aongea na Makonda Live Akiwa Kwenye Mkutano wa Wananchi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amempigia simu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na kuongea naye ‘live’ akiwa katika mkutano wa ziara yake ya wilaya ya Ubungo ya kusikiliza changamoto za wananchi pamoja na kuzitatua.Makonda alimpigia...

Shirikisho la Wanafunzi wa Elimu ya Juu (Tahliso) Watoa Tamko Kali Kwa Bodi ya Mikopo

Dar es Salaam. Shirikisho la Wanafunzi wa Elimu ya Juu (Tahliso) imevikumbusha vyuo vikuu nchini mambo wanayotakiwa kufanya ikiwamo kuelewa mikataba na nafasi ya wanafunzi katika masuala ya malipo ya ada vyuoni mwao.Katika waraka wake uliotolewa kwa vyombo vya habari, Tahliso...

Ushindi wa KRC Genk ya Mbwana Samatta Unaowafanya Watinge hatua Inayofuata Europa League

Usiku wa leo November 24 2016 timu ya nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayecheza soka la kulipwa ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta ilicheza mchezo wake wa tano wa hatua ya Makundi ya UEFA Europa League dhidi ya timu ya Rapid Wien ya Austria.KRC Genk katika...

Mwanaume Aliyekuwa Akijifanya Mwanamke na Kutapeli Wanaume Akamatwa

Mwanaume mmoja nchini Uganda aliyefahamika kwa jina la Ivan Bebeto amekamatwa na Polisi akidaiwa kuwa amekuwa akijifanya yeye ni mwanamke na kuwatapeli wanaume. Mwanaume huyo anashikiliwa na Polisi katika kituo cha Katwe jijini Kampala akidaiwa kuwa hujifanya mwanamke...

Rais Magufuli: Niliivunja Bodi ya TRA Baada ya Kuidhinisha Mabilioni ya Pesa Kwenda Benki Binafsi Kama Fixed Deposit

Novemba 20 mwaka huu Rais Magufuli alitengua uteuzi wa mwenyekiti wa bodi hiyo, Bernard Mchomvu na kuivunja hiyo bila kueleza sababu zozote.Rais John Magufuli ameeleza sababu za kuivunja Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kuwa ilitokana na bodi hiyo kuidhinisha mamlaka...

Tuesday, November 22, 2016

Mwenyekiti Aomba Kupigwa Risasi Mbele ya Makonda Baada ya Kubanwa na Wananchi

Mwenyekiti soko la Mbande Mbagala katika Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Mokiwa Hassani ameomba kupigwa risasi mbele ya Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Paul Makonda baada ya kutuhumiwa kutoza kiwango kikubwa cha fedha katika upangishaji wa vizimba sokoni hapo.mokio-hassanMwenyekiti...

Ndoa Ina Mwaka Sasa Inanishinda, Sina Hamu ya Kufanya Tendo la Ndoa na Mke Wangu

Naombeni ushauri jamani,Nimeoa na ndoa yangu ina mwaka sasa. Mke wangu ana tabia nzuri sana kiasi kwamba kila mtu ananisifia kuwa nimepata mke bora.Tatizo linakuja kitandani, yaani si enjoy chochote kile kutoka kwake najikuta sina hamu naye kabisa hali inayopelekea niwe nasingizia...

: ‘Nikikuta Mgambo Kituo cha Polisi Nitakula Sahani Moja

November 21 2016 ziara ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda iliendelea katika jiji la Dar es salaam, katika ziara hiyo RC Makonda amekutana na wananchi wa Yombo Temeke ambao walitoa kero zao mbalimbali ikiwemo suala la usalama, migogoro ya ardhi, rushwa kwenye vituo...

Diamond Aelezea Sababu ya Kujiita Jina la Diamond Platnumz

Diamond Platnumz ni mmoja wa wasanii wakubwa barani Afrika kwa sasa. Siku za hivi karibuni alipata nafasi ya kushiriki tamasha la muziki la Coke Studio Afrika kusini ambapo alitengeneza wimbo uliowavutia wengi kwa kushirikiana na Cassper Nyovest, wimbo unaitwa My Heart.Akiwa...

GHARAMA za Kumlinda Rais Mteule wa Marekeni Donald Trump Kwa Siku Moja Hizi Hapa

Tarehe 9, Novemba 2016 siku moja baada ya kufanyika uchaguzi mkuu wa Marekani, aliyekuwa mgombea wa Chama cha Republican Donald John Trump alitangazwa kuwa mshindi baada ya kumgaragaza mpinzani wake wa karibu na mgombea wa Chama cha Democratic, Hillary Clinton.Baada ya kutangazwa...

Erick Shigongo Aamua Kufunguka Mahusiano yake na CCM, Adai Wanataka Kumdhulumu Haki yake

Mwandishi nguli hapa nchini, Eric Shigongo amesimulia masaibu anayoyapitia baada ya kuwa amefanya kazi ya Chama cha Mpainduzi (CCM) lakini hajalipwa fedha zake. Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Shigongo ameandika waraka huu;Nawaomba radhi sana wananchi wa Singida,  sikuweza...

MTV Base south Africa, Imetaja List ya Marapa 10 wakali Kutoka Bongo Waliotisha zaidi Kwa Mwaka 2016

Sasa Luninga ya MTV Base south Africa, imetaja list ya marapa 10 wakali waliotisha zaidi kwa mwaka 2016.Namba moja wamempatia rapa Fareed ‘Fid q’ Kubanda kutokea Mkoani Mwanza, Itazame list nzima hapo chini then tuachie maoni yako,#BongoHipHop |Tanzania| #TZHottestMCs 20161.Fid...

Hawa Wadada Wenye Majina Makubwa Wanatoa Wapi Pesa za Matanuzi?

Nikimuona Diamond na kina Kiba na wanamuziki wengine wakila bata najua ni mziki wao unawalipa. Ila kuna hawa watu maarufu huko Instagram kama kidada fulani Tunda na wengine, picha zao zimekaa kibatabataaa lakini niulize huwa wanafanya kazi gani maana hata kama ni kuimba kama...

Mchungaji Atumia Dawa ya Mbu ya Doom Kuwaponesha Watu Kwa Miujiza

Mchungani wa Afrika kusini ambaye aliwapulizia dawa ya kuua wadudu inayoitwa Doom waumini amelaaniwa vikali.Katika taarifa aliyoituma kwenye ukurasa wa Facebook, pmchungaji aliyejitangaza kama nabii Lethebo Rabalago alidai dawa ya kuua waduduinayojulikana kama Doom inaweza...

Mbunge Godbless Lema Aendelea Kusota Gerezani...Akosa Dhamana

ARUSHA: Mahakama Kuu yamnyima Mbunge Lema dhamana arudishwa gerezani. Yawataka Mawakili wake warudishe kesi Mahakama ya Hakimu Mkazi.Lema amesota rumande tangu alipokamatwa Novemba 3, 2016 akiwa mkoani Dodoma na kusafirishwa hadi Arusha ambapo anashtakiwa kwa kosa la uchochezi...

Soudy Brown Afanyiwa Interview, Kumbe Alikuwa Anafanya Kazi TBC

Mzee wa Ubuyu Soudy Brownkafanyiwa interview na TBC amabapo ana dai ndio sehemu iliyomleaamefungukia aanvyotukanwa instagram na anavyochuliaPia amesema anapenda kuvaa mask kama swag tu, na akiivua anakuwa sio Soudy Brown tena&nb...

Wakili wa Serikali Amuomba Radhi Hakimu kwa Kushindwa Kumkamata Tundu

Wakili wa Serikali, Patrick Mwita amemuomba radhi Hakimu Mkazi Mkuu wa Kisutu kwa kushindwa kutekeleza amri ya kumkamata mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uchochezi pamoja na wahariri wa gazeti la Mawio.Wakili Mwita alifanya hivyo jana...

Rais Mugabe Asema Anarogwa

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe, mwenye umri wa mika 92, anazungumzia kuhusu kustaafu , lakini swali ambalo bado watu wanahoji ni ikiwa kweli anamaanisha hilo.Mwishoni mwa juma Bwana Mugabe aliuambia mkutano wa watu wapatao 400- walio piagania uhuru kwamba ikiwa atastaafu...
Powered by Blogger.