Thursday, December 31, 2015

ENZI ZA KUSOMA KIDOGO ILI UKIMBILIE KWENYE SIASA ZIMEKWISHA. MAGUFULI AMEONESHA NJIA.

Kama ulikuwa na mpango wa kumwambia mwanao aishie ka-digrii kamoja shuleni awahi siasa na uteuzi basi think again enzi hizo zimeisha. Alianza na mawaziri hebu check hii ya makatibu wakuuPro. KamuzoraPro. MkendaPro. MsanjilaPro. GabrielPro. NtalikwaPro. MdoePro. MchomeDr....

Monday, December 28, 2015

RAIS MAGUFULI AWAAPISHA MAWAZIRI WALIOBAKI

Rais Dkt. John Magufuli akimuapisha Prof. Makame Mbarawa kuwa Waziri wa Ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano Ikulu DSM Rais Dkt. John Magufuli akimuapisha Dkt. Joyce Ndalichako kuwa Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia,Ufundi Ikulu.  Rais Dkt. John Magufuli akimuapisha...

Monday, December 21, 2015

WAKENYA WAVUTIWA NA MAGUFULI

Ule usemi wa "HAPA KAZI TUU" ambao amekuwa akiutumia sana rais JPM umesababisha rais huyu kuwa kivutio kwa baadhi ya majirani wetu ambao ni wa Kenya wamesema kuwa hiyo kasi aliyokuja nayo Pombe wanatamani kama na wao wangeipata kwa sababu kwa mwezi mmoja tuu Tanzania imeanza kukaa kwenye mstari .KWELI "HAPA KAZI T...

Hatima ya Duni kujulikana Januari

Mwanasiasa mkongwe nchini, Juma Duni Haji amesema hatima yake ya kubakia au kuondoka ndani ya Chadema itajulikana mwezi ujao.Duni aliihama CUF na kujiunga Chadema ambayo ilimsimamisha kuwa mgombea mwenza wa urais wa Chadema iliyokuwa chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).Vyama...

picha za mazishi ya dada yake Kikwete

Rais mstaafu Jakaya Kikwete akiweka mchanga kaburin Rais John Pombe Magufuli naye alikuwa mstali wa mbele kuwawakilisha watanzania katika mazishi hayo Rais wa awamu ya pili Alli hassan mwinyi akiweka mchanga  ...

Friday, December 18, 2015

Kwa ufisadi huu wa Manispaa ya Kinondoni, wanastahili kunyongwa

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ameamuru kusitishwa mara moja malipo yanayofanywa kwa makandarasi waliojenga barabara tano za ndani ya wilaya hiyo.Amefanya hivyo kwa maelezo kuwa watendaji wa Manispaa hiyo, wameshirikiana na makandarasi hao kuiibia serikali Sh bilioni 5.7. Fedha hizo ni ongezeko ambalo makandarasi hao, wanatakiwa kulipwa...

Dkt. Kigwangalla atumbua MAJIPU ya watumishi wachelewaji wa Wizara ya Afya

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla amefanya ukaguzi wa kushtukiza katika ofisi za wizara hiyo kwa kusimama getini kuzuia wafanya kazi wote wa wizara ambao walikuwa wamefika ofisini baada ya saa 1:30 asubuhi* muda ambao...

Wednesday, December 16, 2015

Lowassa kuzunguka nchi kuanzia kesho

Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema akiungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ataanza ziara ya kuzunguka nchi nzima kuwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura uchaguzi mkuu wa oktoba 25 ambapo yeye alikuwa wapili kwa kupata asilimia...

Breking Newz MELI YA ROYAL YAPATA AJALI YA MOTO

Meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kuelekea Pemba inaungua moto baharini muda huu.Kwa bahati meli ya Serengeti iliyokuwa inatokea pemba kwenda unguja imeikuta njiani meli hiyo na inatoa msaada wa uokoaji wa abiria na mali. ...

Monday, December 14, 2015

Goodbless lema aibuka mshindi

Aliyekuwa mgombea ubunge wa chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema Arusha mjini GoodBless Lema ameibuka mshindi katika uchaguzi mdogo baada ya jimbo hilo kuahirishwa uchaguzi kutokana na kifo cha mgombea wa ubunge wa ACT  Lema amepata kura 68,848 akifutiwa na mgombea...

Mbunge wa Ubungo Mh Kubenea akamatwa kwa amri ya DC Makonda

Mbunge wa Ubungo Mh Kubenea akamatwa na polisi kwa amri ya DC Makonda!! Leo kulikuwa na mgomo wa wafanyakazi wa kiwanda cha wachina maeneo ya EXTERNAL EPZ kubenea aliitwa na na wafanyakazi, akiwa kwenye kati kati ya kuongea na kiwanda cha wafanyakazi..akatokea DC Makonda.akaingilia kati kati ya mazungumzo, Baadae Makonda Kubenea na uongozi wa...

Friday, December 11, 2015

KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGA MAFUNZO YA ZIMAMOTO NA UOKOAJI

Gwaride la Wahitimu wa Mafunzo yaKozi ya Awali ya Sajini na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji likipita mbele ya mgeni Rasmi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (hayupo pichani) wakati wa kufunga mafunzo hayo katika Chuo cha Uongozi JKT...

Thursday, December 10, 2015

RAISI MAGUFURI ATANGAZA BALAZA LA MAWAZIRI

Breaking newsMagufuli: Tutakuwa na mawaziri 19, kuna baadhi ya wizara zitakuwa na mawaziri na hazitakuwa na manaibu waziri. Lengo ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama. Zilitengwa bilioni 2, mawaziri watakapoteuliwa waende semina elezi, baraza nitakaloliteua halitakuwa na semina elekezi na fedha tutaelekeza sehemu nyingine kama ni madawati au kwenye...

Wednesday, December 9, 2015

RAIS MAGUFULI WA TANZANIA ABAMBA MAGAZETI YA KENYA

Tanzania President Magufuli BLASTS Uhuru, BLOCKS Brookside Dairy from exploiting Tanzanians Tanzanian President John Magufuli has highlighted ‘unfriendly’ business practices by a company associated with his Kenyan counterpart Uhuru Kenyatta. Magufuli, while addressing...

Rais Magufuli Awaongoza Watanzania Kufanya Usafi

Leo Rais John Magufuli ameongoza Watanzania kutumia Siku ya Uhuru kufanya usafi, yuko eneo la ufukwe karibia na Ikulu akifanya usafi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa naye yuko kwenye soko la Kariakoo akiongoza wafanyabiashara wa soko hilo kufanya usafi. Ni siku ya kihistoria...

Mnyika Aibukia Sakata la Bandari, Asema Dawa ya Jipu Sio Kulitumbua

Baada ya kuwa kimya tangu ashinde Ubunge, Mbunge wa Kibamba kwa tiketi ya Chadema, John Mnyika ameibukia kwenye sakata la ubadhirifu kwenye Mamlaka ya Bandari nchini na kuitaka serikali kuweka wazi ripoti za Dk. Harrison Mwakyembe na Samwel Sitta. Mnyika ameyasema hayo jana...

Tuesday, December 8, 2015

KUTOKUWEPO MAWAZIRI KWAOKOA MABILIONI !!!

Uamuzi wa Rais John Magufuli kukaa zaidi ya mwezi mmoja bila kuteua Baraza la Mawaziri huenda ukawa umeisaidia Serikali kwa kuokoa takribani Sh683.3 milioni za walipa kodi, bila kuhusisha gharama za ununuzi wa ‘mashangingi’. Kiasi hicho cha fedha kimetokana na hesabu...

Mnyika kutumbua jipu la DART (bomba la Mchina) kwa Magufuli

MBUNGE wa Kibamba, John Mnyika amemuomba Rais Dk.John Magufuli kuingilia kati mradi wa maji wa Ruvu Chini maarufu ‘Bomba la Mchina’ pamoja na wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) kuwa ni majipu sugu yanayotafuna fedha za walipa kodi.Akizungumza Dar es Salaam jana, Mnyika alisema siku 32 za Rais Magufuli kukaa Ikulu ametumbua vipele na si majipu kama inavyoelezwa.Alisema...

HakiElimu yamzima Raisi Kikwete

TAASISI isiyo ya kiserikali ya HakiElimu leo imezindua ripoti iliyobainisha madudu yaliyofanywa katika utawala wa Awamu ya Nne chini ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete. Ndani ya ripoti hiyo iliyobeba miaka 10 ya utawala wa Rais Kikwete sekta ya elimu, imeeleza kuwa katika uongozi wake, ubora wa kiwango cha elimu uliporomoka kuliko wakati mwingine...

Monday, December 7, 2015

BREAKING NEWS !!!! RAIS DR. MAGUFULI AVUNJA BODI YA BANDARI< amsimamisha kazi katibu mkuu wizara ya uchukuzi

Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano Dkt.John Pombe Magufuli katika kasi yake ya kutumbua majipu hatimaye,amevunja bodi yote ya Bandari na kutengua uteuzi wa Mkurugenzi mkuu wa bandari Bw.Awadhi Massawe (Pichani) na ameagiza wote wawekwe chini ya ulinzi . Rais  pia ...

UTAJIRI WA VIGOGO TRA WATISHA !!! WAJILIMBIKIZIA MAGARI NA MAJUMBA YA KIFAHARI

Aliyekuwa Kamishina Mkuu, Rished Bade IMEVUJA! Hakuna shaka kwamba, utajiri wa wale vigogo watumishi wa umma waliokuwa wakifanya kazi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) unatisha kufuatia gazeti hili kufukunyua mali za baadhi yao, twende hatua kwa hatua.Ijumaa iliyopita, Waziri...

DR. MAGUFULI AITIKISA DUNIA KWA UCHAPAKAZI !!! JINA LAKE LATAWALA KWENYE MAGAZETI YA MAREKANI, AFRIKA KUSINI NA AUSTRALIA

Kwa wiki ya pili sasa Rais Dkt Magufuli ameendelea kuwa gumzo barani Afrika na sasa hadi nchi za Ulaya zimedata naye. Jina lake linatrend muda wote kwenye mtandao wa Twitter na kadri siku zinavyooenda habari za utendaji wake zinazidi kuenea. Katika mtandao huo wa Twitter,...
Powered by Blogger.