Aliyekuwa mgombea ubunge wa chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema Arusha mjini GoodBless Lema ameibuka mshindi katika uchaguzi mdogo baada ya jimbo hilo kuahirishwa uchaguzi kutokana na kifo cha mgombea wa ubunge wa ACT Lema amepata kura 68,848 akifutiwa na mgombea wa CCM Philemon Mollel aliyepata kura 35,907 7
0 comments:
Post a Comment