hapo kesho ata kuwa Tanga ambapo ata ambatana na Viongozi waandamizi wa ukawa kuwashukuru wananchi kwa namna ambavyo wameunga mkono upinzania na ajenda ya Mabadiliko kwa katika uchaguzi mkuu uliopita.
Wednesday, December 16, 2015
Lowassa kuzunguka nchi kuanzia kesho
Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema akiungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ataanza ziara ya kuzunguka nchi nzima kuwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura uchaguzi mkuu wa oktoba 25 ambapo yeye alikuwa wapili kwa kupata asilimia 39.9 za kura akitanguliwa na mshindi wa uchaguzi huo ambaye ni Mh rais John Pombe Magufuli aliye shinda kwa asilimia 58.4

hapo kesho ata kuwa Tanga ambapo ata ambatana na Viongozi waandamizi wa ukawa kuwashukuru wananchi kwa namna ambavyo wameunga mkono upinzania na ajenda ya Mabadiliko kwa katika uchaguzi mkuu uliopita.
hapo kesho ata kuwa Tanga ambapo ata ambatana na Viongozi waandamizi wa ukawa kuwashukuru wananchi kwa namna ambavyo wameunga mkono upinzania na ajenda ya Mabadiliko kwa katika uchaguzi mkuu uliopita.
Powered by Blogger.







0 comments:
Post a Comment