
Rais Dkt. John Magufuli akimuapisha Prof. Makame Mbarawa kuwa Waziri wa Ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano Ikulu DSM

Rais Dkt. John Magufuli akimuapisha Dkt. Joyce Ndalichako kuwa Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia,Ufundi Ikulu.

Rais Dkt. John Magufuli akimuapisha Dkt. Philip Mpango kuwa Waziri wa Fedha na Mipango Ikulu DSM.

Rais Dkt. John Magufuli akimuapisha Prof Jumanne Maghembe kuwa Waziri wa Maliasilina Utalii Ikulu DSM

Rais Dkt. John Magufuli akimuapisha Mhe. Hamad Masauni kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Ikulu DSM

Rais Dkt. John Magufuli akimuapisha Mhandisi Gerson Lwenge kuwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji Ikulu DSM
0 comments:
Post a Comment